|
| 23790 | Lakini hali kama hii haitoki ila kwa kuomba na kufunga.]” | |
| 24548 | Kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia na asikie.]” | |
| 24735 | Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]” | |
| 24923 | Nayo maandiko yakatimizwa, yale yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.]” | |
| 25756 | Wanaume wawili watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]” |